Mshambuliaji Mbwana Ally Samatta wa Tanzania na klabu ya TP Mazembe ameshinda Tuzo ya Mchezaji bora anayecheza soka barani Afrika na kuwamwaga Baghdad Boundjah (Algeria/: Etoile du Sahel) na Robert Kidiaba (DR Congo/ TP Mazembe) Usiku huu mjini Abuja, Nigeria.
Kufuatia mchezaji huyu kuchukua tuzo hii kubwa africa lazima tutegemee mambo makubwa sana katika sekta hii ya michezo
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni